<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss version="2.0"
	xmlns:content="http://purl.org/rss/1.0/modules/content/"
	xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/"
	xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom"
	xmlns:sy="http://purl.org/rss/1.0/modules/syndication/"
		>
<channel>
	<title>Comments on: Taro &#8211; Magimbi</title>
	<atom:link href="http://tasteoftanzania.com/blog/index.php/2009/10/11/taro-magimbi/feed/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/</link>
	<description>The pride of Swahili food and culture</description>
	<lastBuildDate>Tue, 31 Jan 2012 21:11:26 +0000</lastBuildDate>
	<sy:updatePeriod>hourly</sy:updatePeriod>
	<sy:updateFrequency>1</sy:updateFrequency>
	<generator>http://wordpress.org/?v=3.1</generator>
	<item>
		<title>By: Rob Benwell</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-2117</link>
		<dc:creator>Rob Benwell</dc:creator>
		<pubDate>Sun, 07 Aug 2011 22:31:29 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-2117</guid>
		<description>Hey there,  You have done a great job. I’ll certainly digg it and personally recommend to my friends. I am sure they&#039;ll be benefited from this site.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Hey there,  You have done a great job. I’ll certainly digg it and personally recommend to my friends. I am sure they&#8217;ll be benefited from this site.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Miriam Rose Kinunda</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-1774</link>
		<dc:creator>Miriam Rose Kinunda</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 09 May 2011 16:39:35 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-1774</guid>
		<description>Imran,
Unaulizia restaurant ama Duka la kununua viungo? Kama ni duka, google Lee Lee Oriental Market.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Imran,<br />
Unaulizia restaurant ama Duka la kununua viungo? Kama ni duka, google Lee Lee Oriental Market.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Imran</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-1647</link>
		<dc:creator>Imran</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 13 Apr 2011 02:43:18 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-1647</guid>
		<description>Dada Miriam,

Natarajia mzima wa afya.

Hivi unafahamu restaurant hapa phoenix AZ ambayo ina chakula inayokaribia kama ya nyumbani (Tanzania)?

Asanta sana kwa msaada wako,

wako,
Imran.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Dada Miriam,</p>
<p>Natarajia mzima wa afya.</p>
<p>Hivi unafahamu restaurant hapa phoenix AZ ambayo ina chakula inayokaribia kama ya nyumbani (Tanzania)?</p>
<p>Asanta sana kwa msaada wako,</p>
<p>wako,<br />
Imran.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Thelma Mwadzaya</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-291</link>
		<dc:creator>Thelma Mwadzaya</dc:creator>
		<pubDate>Sat, 20 Mar 2010 21:59:58 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-291</guid>
		<description>Mi nayapenda sana haya waweza kuyaunga kwa nazi,vitunguu maji, pilipili (nzima za harufu tuu)na chumvi kisha utolee kwa samaki wa kukaanga au maini/nyama ukipenda.Kwa asubuhi waweza kuyachemsha tu kisha uviweke vipande kwenye kikaango na siagi kidogo ili vikauke kidogo.Voila! mlo wa asubuhi umekamilika na chai ya maziwa au sturungi(rangi)iliyo na iliki.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Mi nayapenda sana haya waweza kuyaunga kwa nazi,vitunguu maji, pilipili (nzima za harufu tuu)na chumvi kisha utolee kwa samaki wa kukaanga au maini/nyama ukipenda.Kwa asubuhi waweza kuyachemsha tu kisha uviweke vipande kwenye kikaango na siagi kidogo ili vikauke kidogo.Voila! mlo wa asubuhi umekamilika na chai ya maziwa au sturungi(rangi)iliyo na iliki.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: John Liva</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-261</link>
		<dc:creator>John Liva</dc:creator>
		<pubDate>Tue, 16 Feb 2010 11:44:17 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-261</guid>
		<description>It is a pity an English page is replied to in kiSwahili which most international readers cannot read.</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>It is a pity an English page is replied to in kiSwahili which most international readers cannot read.</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: alice</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-148</link>
		<dc:creator>alice</dc:creator>
		<pubDate>Fri, 23 Oct 2009 12:37:48 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-148</guid>
		<description>asante kwa kutukumbushia taste ya maghimbi!! tatizo dar wanaleta msimu wa ramadhan tu na wakati mwingine wanahifadhi ili wauze bei ghali!1 mara nyingi utapata Kisutu sokoni kule maana lile karibu ni soko la wahindi zaidi!! 

mie napenda uwaonyeshe namna ya kutengeneza wali/pilau la biriani liwe la nyama aina youyote ile!! mana ninakipenda mno hiki chakula!!

thanks
&lt;strong&gt;Miriam Rose Kasema:
&lt;em&gt;Hii ni vibaya kusubiri ili wauze bei ya juu. Sisi huku phoenix tunapata magimbi wakati wowote ule. Pilau nimeliweka leo, lakini sio la nyama. Nimeweka pilau tupu ili wale waaiokula nyama pia waweze kufurahia. Siku nyingine nitaweka la nyama pia. &lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>asante kwa kutukumbushia taste ya maghimbi!! tatizo dar wanaleta msimu wa ramadhan tu na wakati mwingine wanahifadhi ili wauze bei ghali!1 mara nyingi utapata Kisutu sokoni kule maana lile karibu ni soko la wahindi zaidi!! </p>
<p>mie napenda uwaonyeshe namna ya kutengeneza wali/pilau la biriani liwe la nyama aina youyote ile!! mana ninakipenda mno hiki chakula!!</p>
<p>thanks<br />
<strong>Miriam Rose Kasema:<br />
<em>Hii ni vibaya kusubiri ili wauze bei ya juu. Sisi huku phoenix tunapata magimbi wakati wowote ule. Pilau nimeliweka leo, lakini sio la nyama. Nimeweka pilau tupu ili wale waaiokula nyama pia waweze kufurahia. Siku nyingine nitaweka la nyama pia. </em></strong></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: shanifa</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-144</link>
		<dc:creator>shanifa</dc:creator>
		<pubDate>Wed, 21 Oct 2009 09:09:05 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-144</guid>
		<description>Dada mariam, ni kweli ukisema magimbi yamepotea masokoni.  Kwanza kabisa chakula hiki mara nyingi kinapatika kwa wingi wakati wa mwezi mtukufu, kwa vile ni chakula muafaka kwa kipindi hicho.  Vile vile jua nalo limezidi katika kipindi kwahiyo kuna mazao mengine huwa hayapatikani kwa wingi katika kipindi kama hiki.  

Kwavile umetupatia changamoto ya virutubisho, hivyo naimani kwawale wanaoingia katika website yako wakaona kuwa kuna umuhimu zaidi wa kula magimbi watadumisha hiki chakula kwa kukinunua masokoni ili mradi wauzaji nao waone kama kinaulizwa hata kama si mwezi mtukufu.  

Tunashukuru kwa kutuelimisha, Mungu akuwezeshe zaidi na zaidi. 
Shukran.

&lt;strong&gt;Miriam Rose Kasema:
&lt;em&gt;Magimbi yanaafya kuliko viazi ulaya. Ndio maana nimeweka mapishi ya chips za magimbi. Ingawa si vizuri kula vitu vya kukaanga kila siku, mara mojamoja si vibaya. Sasa mtu anaweza kuacha kula chips za viazi akajaribu za magimbi.&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Dada mariam, ni kweli ukisema magimbi yamepotea masokoni.  Kwanza kabisa chakula hiki mara nyingi kinapatika kwa wingi wakati wa mwezi mtukufu, kwa vile ni chakula muafaka kwa kipindi hicho.  Vile vile jua nalo limezidi katika kipindi kwahiyo kuna mazao mengine huwa hayapatikani kwa wingi katika kipindi kama hiki.  </p>
<p>Kwavile umetupatia changamoto ya virutubisho, hivyo naimani kwawale wanaoingia katika website yako wakaona kuwa kuna umuhimu zaidi wa kula magimbi watadumisha hiki chakula kwa kukinunua masokoni ili mradi wauzaji nao waone kama kinaulizwa hata kama si mwezi mtukufu.  </p>
<p>Tunashukuru kwa kutuelimisha, Mungu akuwezeshe zaidi na zaidi.<br />
Shukran.</p>
<p><strong>Miriam Rose Kasema:<br />
<em>Magimbi yanaafya kuliko viazi ulaya. Ndio maana nimeweka mapishi ya chips za magimbi. Ingawa si vizuri kula vitu vya kukaanga kila siku, mara mojamoja si vibaya. Sasa mtu anaweza kuacha kula chips za viazi akajaribu za magimbi.</em></strong></p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: tatat</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-138</link>
		<dc:creator>tatat</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 12 Oct 2009 15:38:48 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-138</guid>
		<description>THANKS FOR A TASTE OF TANZANIA!</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>THANKS FOR A TASTE OF TANZANIA!</p>
]]></content:encoded>
	</item>
	<item>
		<title>By: Kaka</title>
		<link>http://tasteoftanzania.com/blog/2009/10/11/taro-magimbi/comment-page-1/#comment-137</link>
		<dc:creator>Kaka</dc:creator>
		<pubDate>Mon, 12 Oct 2009 11:06:23 +0000</pubDate>
		<guid isPermaLink="false">http://tasteoftanzania.com/blog/?p=164#comment-137</guid>
		<description>Ni kweli dada Miriam, siku hizi maghimbi hayaonekani sana kwenye masoko yetu makubwa makubwa kama Kariakoo na madogo madogo kama Mtambani na M/Nyamala Mapinduzi kwa kuwa kwanza walaji wake wamepungua na hali ambayo nadhani imepelekea pia kupungua uzalishaji wake kwa wakulima ambao walikuwa wakilima kibiashara. Lakini pia, utandawazi nao umechangia kwa kiasi fulani chakula hiki kutotumika hasa maeneo ya mijini zaidi kama Dar es Salaam. Naomba kuwasilisha.

Ahsante kwa mchanganuo wa virutubisho vinavyopatikaka katika maghimbi</description>
		<content:encoded><![CDATA[<p>Ni kweli dada Miriam, siku hizi maghimbi hayaonekani sana kwenye masoko yetu makubwa makubwa kama Kariakoo na madogo madogo kama Mtambani na M/Nyamala Mapinduzi kwa kuwa kwanza walaji wake wamepungua na hali ambayo nadhani imepelekea pia kupungua uzalishaji wake kwa wakulima ambao walikuwa wakilima kibiashara. Lakini pia, utandawazi nao umechangia kwa kiasi fulani chakula hiki kutotumika hasa maeneo ya mijini zaidi kama Dar es Salaam. Naomba kuwasilisha.</p>
<p>Ahsante kwa mchanganuo wa virutubisho vinavyopatikaka katika maghimbi</p>
]]></content:encoded>
	</item>
</channel>
</rss>

